Kesho Jumatano wananchi @yangasc watakuwa Dimba la Mkapa wakiwa na kazi moja tu ya kupata ushindi dhidi ya #ClubAfricain kutoka …
Kesho Jumatano wananchi @yangasc watakuwa Dimba la Mkapa wakiwa na kazi moja tu ya kupata ushindi dhidi ya #ClubAfricain kutoka Tunisia katika mechi ya mtoano kufuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Mechi hii itapigwa kuanzia Saa 10:00 Jioni na kuruka mbashara kupitia #AzamSports1HD. Kwa Kifurushi cha shilingi 23,000 unatazama mchezo huu. #SisiNiSoka #Azammaxweb #CAFCC The post Kesho Jumatano wananchi @yangasc watakuwa Dimba la Mkapa wakiwa na kazi moja tu ya kupata ushindi dhidi ya #ClubAfricain kutoka … appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/jYkP60T