Skip to main content

Posts

Showing posts from December, 2022

Chama cha Watu Wenye Ualbino- TAS Wapata Msaada wa Vifaa.

Katibu Mkuu Chama cha Watu Wenye Ualbino Mkoa wa Dar Es Salaam Gaston Mcheka ametoa shukrani baada ya kupokea vifaa vya kuwasaidia katika shughuli zao za kila siku. Vifaa hivyo ni Mafuta maalum ya kutunza Ngozi, na kofia za kujikinga na mwanga wa jua ambavyo vyote hivyo vimetolewa kama msaada na Meridianbet Tanzania ikiwa ni sehemu ya kuwakumbuka watu mbalimbali wenye mahitaji tofauti kwenye jamii. Akipokea vifaa hivyo Mcheka alibainisha kwamba Meridianbet imesaidia kwa kiasi kikubwa kwani vifaa hivyo vinagharama kubwa sana. “Kiuhalisia haya mafuta yana gharama kubwa sana, ukichukua hii chupa moja ni gharama za chakula kwenye familia kwa milo mitatu, lakini leo hii wenzetu wa Meridianbet wametuletea vingi vya kutosha. Tunawashukuru sana kwa moyo hu una tutakuwa bega kwa began a Meridianbet kwa mambo mengine”- Gaston Mcheka “Lakini mbali na hili nipende kuelezea tena changamoto ya kiyakinishi cha mezani au kiyakinishi mpakato ‘Laptop’ kwa ajili ya kufanyia shughuli zetu za kila ...

Chama cha Watu Wenye Ualbino- TAS Wapata Msaada wa Vifaa.

Katibu Mkuu Chama cha Watu Wenye Ualbino Mkoa wa Dar Es Salaam Gaston Mcheka ametoa shukrani baada ya kupokea vifaa vya kuwasaidia katika shughuli zao za kila siku. Vifaa hivyo ni Mafuta maalum ya kutunza Ngozi, na kofia za kujikinga na mwanga wa jua ambavyo vyote hivyo vimetolewa kama msaada na Meridianbet Tanzania ikiwa ni sehemu ya kuwakumbuka watu mbalimbali wenye mahitaji tofauti kwenye jamii. Akipokea vifaa hivyo Mcheka alibainisha kwamba Meridianbet imesaidia kwa kiasi kikubwa kwani vifaa hivyo vinagharama kubwa sana. “Kiuhalisia haya mafuta yana gharama kubwa sana, ukichukua hii chupa moja ni gharama za chakula kwenye familia kwa milo mitatu, lakini leo hii wenzetu wa Meridianbet wametuletea vingi vya kutosha. Tunawashukuru sana kwa moyo hu una tutakuwa bega kwa began a Meridianbet kwa mambo mengine”- Gaston Mcheka “Lakini mbali na hili nipende kuelezea tena changamoto ya kiyakinishi cha mezani au kiyakinishi mpakato ‘Laptop’ kwa ajili ya kufanyia shughuli zetu za kila ...

Faraja Masinde aibuka kinara tuzo za uandishi wa habari za watoto 2022

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mhariri wa MTANZANIA DIGITAL, Faraja Masinde, ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za uandishi wa habari za watoto (TEFCRA) kwa mwaka 2022 zilizoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa kushirikiana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF). Naibu Mwakilishi Mkazi wa UNICEF Tanzania, Ousmane Niang akimkabidhi tuzo na cheti cha ushindi wa jumla kwa Mwandishi Faraja Masinde Kutoka Mtanzania Digital baada ya kushinda tuzo ya jumla kuhusu habari za watoto (TEFCRA) kwa mwaka 2022 zilizoandaliwa na Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF kwa kushirikiana na UNICEF katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam Desemba 29, 2022. Tuzo hizo zimetolewa Alhamisi Desemba 29, 2022 katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam ambapo Faraja Masinde kutoka Mtanzania Digital ndiye amepata tuzo ya jumla kati yawanahari 12 waliokuwa wakiwania tuzo hizo. Masinde alikabidhiwa tuzo hiyo ya mshindi wa jumla ya Umahiri wa Uandishi wa Habari za Watoto T...

Faraja Masinde aibuka kinara tuzo za uandishi wa habari za watoto 2022

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mhariri wa MTANZANIA DIGITAL, Faraja Masinde, ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za uandishi wa habari za watoto (TEFCRA) kwa mwaka 2022 zilizoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto (UNICEF) kwa kushirikiana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF). Naibu Mwakilishi Mkazi wa UNICEF Tanzania, Ousmane Niang akimkabidhi tuzo na cheti cha ushindi wa jumla kwa Mwandishi Faraja Masinde Kutoka Mtanzania Digital baada ya kushinda tuzo ya jumla kuhusu habari za watoto (TEFCRA) kwa mwaka 2022 zilizoandaliwa na Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF kwa kushirikiana na UNICEF katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam Desemba 29, 2022. Tuzo hizo zimetolewa Alhamisi Desemba 29, 2022 katika hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam ambapo Faraja Masinde kutoka Mtanzania Digital ndiye amepata tuzo ya jumla kati yawanahari 12 waliokuwa wakiwania tuzo hizo. Masinde alikabidhiwa tuzo hiyo ya mshindi wa jumla ya Umahiri wa Uandishi wa Habari za Watoto T...

Ligi imechanganya, Mechi kali za funga mwaka 2022 zenye Odds kubwa na Machaguo Kibao Meridianbet

Ligi nyingi zimerejea na mzuka wa kutosha mtu wangu, ni EPL, La Liga na Ligue 1 huku zikisindikizwa na michezo mingi ya kirafiki yenye kuvutia na kusindikiza furaha yako, Meridianbet wameliona hilo na kutoa odds kubwa na bombaa, bila kusahau machaguo mengi ya kufungia mwaka 2022 na kufungua mwaka 2023. Unafungaje mwaka 2022 na Meridianbet? Ni rahisi sana wala usisumbuke kuumiza kichwa chako, ukiichagua Meridianbet ni umechagua ushindi tu, kwanini nakwambia hivyo ni kwa sababu kila mechi kuna ODDS kubwa sana na machaguo ni mengi na rahisi Zaidi yenye uhakika wa kukupa ushindi kwenye mkeka wako. Leo Ijumaa pale EPL kitapigwa mechi mbili ni Liverpool vs Leicester ambapo kila timu inazitaka alama tatu, nani kung’ara leo, Nunez, Salah, Trent ama Jamie Vardy, Kelechi Iheanacho au ni Denis Prayet? Bashiri Meridianbet ufunge mwaka kibabe . Pia West Ham watawakaribisha wazee wa nyuki Brentford 2.06 kwa West Ham ashinde huku 3.57 kwa Brentford ashinde. Real Valladolid hawatakuwa na kazi n...

Ligi imechanganya, Mechi kali za funga mwaka 2022 zenye Odds kubwa na Machaguo Kibao Meridianbet

Ligi nyingi zimerejea na mzuka wa kutosha mtu wangu, ni EPL, La Liga na Ligue 1 huku zikisindikizwa na michezo mingi ya kirafiki yenye kuvutia na kusindikiza furaha yako, Meridianbet wameliona hilo na kutoa odds kubwa na bombaa, bila kusahau machaguo mengi ya kufungia mwaka 2022 na kufungua mwaka 2023. Unafungaje mwaka 2022 na Meridianbet? Ni rahisi sana wala usisumbuke kuumiza kichwa chako, ukiichagua Meridianbet ni umechagua ushindi tu, kwanini nakwambia hivyo ni kwa sababu kila mechi kuna ODDS kubwa sana na machaguo ni mengi na rahisi Zaidi yenye uhakika wa kukupa ushindi kwenye mkeka wako. Leo Ijumaa pale EPL kitapigwa mechi mbili ni Liverpool vs Leicester ambapo kila timu inazitaka alama tatu, nani kung’ara leo, Nunez, Salah, Trent ama Jamie Vardy, Kelechi Iheanacho au ni Denis Prayet? Bashiri Meridianbet ufunge mwaka kibabe . Pia West Ham watawakaribisha wazee wa nyuki Brentford 2.06 kwa West Ham ashinde huku 3.57 kwa Brentford ashinde. Real Valladolid hawatakuwa na kazi n...

Wabunge watakiwa kuzingatia umuhimu wa mabadiliko ya Sheria ya Habari

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Wabunge wameombwa kutumia Mamlaka yao vizuri katika kupitisha Mswada wa marekebisho ya sheria ya Huduma za vyombo vya habari ya mwaka 2016 ambao unatarajiwa kupelekwa Bungeni Januari 2023 hatua itakayosaidia sekta ya habari kufanya kazi katika mazingira rafiki. Ombi hilo limetolewa Desemba 29, 2022 na Mwenyekiti wa Chama cha waandishi wa habari wa kupiga vita matumizi ya dawa za kulevya pamoja na uhalifu nchini Tanzania (OJADACT) Edwin Soko wakati akizungumza na Waandishi wa Habari. Amesema kati ya Sheria ambazo zinakwaza sekta ya habari siyo hiyo peke yake zipo nyingi ikiwemo sheria ya takwimu ya mwaka 2015,sheria ya makosa ya kimtandao ya mwaka 2016 hivyo bunge liwe na desturi ya kupitia sheria hizo ili kuweza kupata sheria ambayo itakuwa rafiki katika sekta ya habari hapa nchini. ”Mswada huu ulipitiwa kweye mikutano mbalimbali ya wadau namimi nilipata bahati ya kuwa miongoni mwa watu waliotoa mapendekezo kupitia taasisi za uchechemzi juu ya ...

TRA Kariakoo yazindua Kampeni ya Kuelimisha Wanunuzi Umuhimu wa Kudai Risiti

Na Koku David, Mtanzania Digital MENEJA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Kikodi Kariakoo, Alex Katundu amezindua kampeni ya Twende Nao Tukawaelimishe yenye lengo la kuwaelimisha wanunuzi kuhusu umuhimu wa kudai risiti za kielektroniki za EFD kila wanaponunua bidhaa katika eneo la kibiashara la Kariakoo. Akizungumza jijini Dar es Salaam Desemba 29, 2022 baada uzinduzi huo wakati akiwapa elimu ya umuhimu wa kudai risiti kwa wanunuzi waliokutwa wamenunua bidhaa bila kudai risiti, Katundu alisema elimu ya kodi imekuwa ikitolewa mara kwa mara kwa wafanyabiashara pekee jambo ambalo ualakuwa likisababisha wanunuzi wengi kusahau wajibu wao wa kudai risiti.   “Mara nyingi tumekuwa tukitoa elimu kwa wafanyabiashara kuhusu matumizi sahihi ya mashine za kutolea risiti za EFD lakini sasa hivi tumekuja na mkakati maalumu wa kuwaelimisha wanunuzi juu ya haki yao ya kudai risiti kila wanapofanya manunuzi,” alisema Katundu.   Alisema katika kutekeleza zoezi hilo, wat...

Dk. Samia anastahili pongezi kwa kuimarisha Diplomasia, Uchumi Tanzania na China

Na Mwandishi Wetu Mtanzania Digital Tunapoelekea kufunga mwaka 2022, ubalozi unatoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali kwa ushirikiano wao uliowezesha utekelezaji wa Majukumu ya Ubalozi. Katika Mwaka 2022 mambo mbalimbali yenye tija na manufaa kwa wananchi yamefanyika kufuatia mwongozo na maelekezo ya Mwanadiplomasia No 1 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Samia Suluhu Hassan. Yafuatayo ni baadhi ya mambo yaliyofanyika MOJA  Tarehe 2-4 Novemba 2022 Ilifanyika Ziara ya Kihistoria ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan-nchini China. Kupitia ziara hiyo Tanzania na China zilipandisha hali ya mahusiano kuwa ya Kimkakati katika nyanja zote. MBILI Kwa upande wa biashara, Mauzo ya bidhaa za Tanzania katika soko la China yaliongezeka kutoka Dola za Kimarekani Milioni 409 hadi kufikia Dola za Kimarekani Milioni 605.5. Inatarajiwa katika mwaka 2023 mauzo yataongezeka kwa asilimia 20 kutokana na Tanzania kufunguliwa soko jipya l...

Dk. Samia anastahili pongezi kwa kuimarisha Diplomasia, Uchumi Tanzania na China

Na Mwandishi Wetu Mtanzania Digital Tunapoelekea kufunga mwaka 2022, ubalozi unatoa shukrani za dhati kwa wadau mbalimbali kwa ushirikiano wao uliowezesha utekelezaji wa Majukumu ya Ubalozi. Katika Mwaka 2022 mambo mbalimbali yenye tija na manufaa kwa wananchi yamefanyika kufuatia mwongozo na maelekezo ya Mwanadiplomasia No 1 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Samia Suluhu Hassan. Yafuatayo ni baadhi ya mambo yaliyofanyika MOJA  Tarehe 2-4 Novemba 2022 Ilifanyika Ziara ya Kihistoria ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan-nchini China. Kupitia ziara hiyo Tanzania na China zilipandisha hali ya mahusiano kuwa ya Kimkakati katika nyanja zote. MBILI Kwa upande wa biashara, Mauzo ya bidhaa za Tanzania katika soko la China yaliongezeka kutoka Dola za Kimarekani Milioni 409 hadi kufikia Dola za Kimarekani Milioni 605.5. Inatarajiwa katika mwaka 2023 mauzo yataongezeka kwa asilimia 20 kutokana na Tanzania kufunguliwa soko jipya l...

Karibu kwenye familia ya kibingwa ya meridianbet ufurahie sloti ya bursting hot 5

Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa. Sloti ya Bursting Hot 5 Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezea sloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwako sasa! Bursting Hot 5 ni mchezo unaotumia matunda kama zile sloti za kizamani ila imeboreshwa zaidi! Sifa mpya zilizoongezwa zinakuhakikishia ushindi mkubwa zaidi.  Namna ya Kucheza Mchezo wa Bursting Hot 5 Ukiingia kwenye sehemu ya Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet , tafuta jina la Bursting Hot 5 kisha utaona mchezo wenye muonekano mzuri kabisa ukiwa na matunda mbalimbali. Weka dau lako kisha bonyeza kitufe cha “start” kuanzisha mchezo, subiri alama zizunguke na zikupe ushindi mkubwa! Kumbuka, kila dau utakaloliweka, linaweza kukupatia faida stahiki kulingana na dau hilo. Namna ya Kupata Ushindi Kwenye Mchezo wa Bursting Hot 5 Bursting Hot 5 kutoka Kasino ya Mtandaoni Ya Meridianbet inakuhakikisha ushindi wa mpaka mara 6000 ya dau lako endapo tu utapanga alama tano za lucky 7. Sio hayo tu, slo...

Karibu kwenye familia ya kibingwa ya meridianbet ufurahie sloti ya bursting hot 5

Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa. Sloti ya Bursting Hot 5 Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekusogezea sloti ya kijanja ya Bursting Hot 5 kiganjani mwako sasa! Bursting Hot 5 ni mchezo unaotumia matunda kama zile sloti za kizamani ila imeboreshwa zaidi! Sifa mpya zilizoongezwa zinakuhakikishia ushindi mkubwa zaidi.  Namna ya Kucheza Mchezo wa Bursting Hot 5 Ukiingia kwenye sehemu ya Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet , tafuta jina la Bursting Hot 5 kisha utaona mchezo wenye muonekano mzuri kabisa ukiwa na matunda mbalimbali. Weka dau lako kisha bonyeza kitufe cha “start” kuanzisha mchezo, subiri alama zizunguke na zikupe ushindi mkubwa! Kumbuka, kila dau utakaloliweka, linaweza kukupatia faida stahiki kulingana na dau hilo. Namna ya Kupata Ushindi Kwenye Mchezo wa Bursting Hot 5 Bursting Hot 5 kutoka Kasino ya Mtandaoni Ya Meridianbet inakuhakikisha ushindi wa mpaka mara 6000 ya dau lako endapo tu utapanga alama tano za lucky 7. Sio hayo tu, slo...

Makala| Rehema: Mwanangu alifariki sababu ya utoto wangu-2

Na Faraja Masinde, Mtanzania Ripoti ya matokeo ya utafiti unaoitwa ‘Ndoa za utotoni Tanzania ’ iliyotolewa Mchi  2, 2017 inasema  wasichana wanaoingia katika ndoa mapema pia hupata ujauzito mapema, hali ambayo huwaweka katika  hatari zaidi wakati wa ujauzito na kujifungua .  “Kwa mfano, wakinamama kati ya umri wa miaka 15 na 19 wanao uwezekano wa kufariki mara mibili zaidi ikilinganishwa na wakinamama ambao wenye umri kati ya miaka 20 na 24,” inasomeka sehemu ya ripoti hiyo iliyotolewa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jami, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na taasisi kadhaa zikiwamo Plan, CDF, Forward na UNFPA…endelea sehemu ya pili. Maisha yake ya sasa Akizungumzia maisha yake ya sasa Rehema anasema kuwa, ni kama anasogeza tu siku ziende kwani amani na furaha ya ndoa ndani ya nyumba yao ilishatoweka siku nyingi. “Hapa mimi nipo tu kwa ajili ya watoto wangu wakue basi niondoke kwani ndoa yetu haina amani tena, kwani mume wangu hata kwenye shughuli zake z...

Makala| Rehema: Mwanangu alifariki sababu ya utoto wangu-2

Na Faraja Masinde, Mtanzania Ripoti ya matokeo ya utafiti unaoitwa ‘Ndoa za utotoni Tanzania ’ iliyotolewa Mchi  2, 2017 inasema  wasichana wanaoingia katika ndoa mapema pia hupata ujauzito mapema, hali ambayo huwaweka katika  hatari zaidi wakati wa ujauzito na kujifungua .  “Kwa mfano, wakinamama kati ya umri wa miaka 15 na 19 wanao uwezekano wa kufariki mara mibili zaidi ikilinganishwa na wakinamama ambao wenye umri kati ya miaka 20 na 24,” inasomeka sehemu ya ripoti hiyo iliyotolewa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jami, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na taasisi kadhaa zikiwamo Plan, CDF, Forward na UNFPA…endelea sehemu ya pili. Maisha yake ya sasa Akizungumzia maisha yake ya sasa Rehema anasema kuwa, ni kama anasogeza tu siku ziende kwani amani na furaha ya ndoa ndani ya nyumba yao ilishatoweka siku nyingi. “Hapa mimi nipo tu kwa ajili ya watoto wangu wakue basi niondoke kwani ndoa yetu haina amani tena, kwani mume wangu hata kwenye shughuli zake z...

Makala| Rehema: Mwanangu alifariki sababu ya utoto wangu-1

Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital “Mwanangu wa kwanza alifariki dunia wakati nikijifungua, madaktari waliniambia kuwa njia yangu ya uzazi ilikuwa ndogo. Nilikuwa na miaka 17 tu kwa wakati huo….” Hii ni sehemu ya maneno yanayohusu ya safari ya maisha aliyoipitia na anayoendelea kuyapitia binti wa miaka 26, ambaye kwa sasa ni mama wa watoto wawili baada ya mwanaye wa kwanza kutangulia mbele za haki. Mama huyu ambaye katika makala haya tumembatiza jina la Rehema Zabroni, anasema maisha ni magumu na hatamani tena kuendelea kuishi kwenye uhusiano wa mume na mke ambao amedumu nao kwa miaka kadhaa sasa. “Natamani kutoka katika hii ndoa isiyo na furaha lakini kinachoniweka hapa ni watoto wangu wawili. Sitamani tena kuzaa mwingine. Nasubiri hawa wakue niachane kabisa na huyu mwanaume kwani amekuwa mtu wa vitisho tu kwangu,” anasema Rehema na kuongeza: “Najuta sana kwani sasa ningekuwa hata daktari wa Watoto, kazi ambayo niliitaman sana. Ningefika huko kama ningeendelea kuvumilia kazi n...

Makala| Rehema: Mwanangu alifariki sababu ya utoto wangu-1

Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital “Mwanangu wa kwanza alifariki dunia wakati nikijifungua, madaktari waliniambia kuwa njia yangu ya uzazi ilikuwa ndogo. Nilikuwa na miaka 17 tu kwa wakati huo….” Hii ni sehemu ya maneno yanayohusu ya safari ya maisha aliyoipitia na anayoendelea kuyapitia binti wa miaka 26, ambaye kwa sasa ni mama wa watoto wawili baada ya mwanaye wa kwanza kutangulia mbele za haki. Mama huyu ambaye katika makala haya tumembatiza jina la Rehema Zabroni, anasema maisha ni magumu na hatamani tena kuendelea kuishi kwenye uhusiano wa mume na mke ambao amedumu nao kwa miaka kadhaa sasa. “Natamani kutoka katika hii ndoa isiyo na furaha lakini kinachoniweka hapa ni watoto wangu wawili. Sitamani tena kuzaa mwingine. Nasubiri hawa wakue niachane kabisa na huyu mwanaume kwani amekuwa mtu wa vitisho tu kwangu,” anasema Rehema na kuongeza: “Najuta sana kwani sasa ningekuwa hata daktari wa Watoto, kazi ambayo niliitaman sana. Ningefika huko kama ningeendelea kuvumilia kazi n...

Promosheni bomba ya THE MAGICAL 22 kutoka Meridianbet inakusubiri!

Muda muafaka ni mwisho wa mwaka, katika michezo iliyochaguliwa ya Pragmatic Play! Kuanzia Desemba 26 mpaka Januari 4, 2023, shiriki katika promosheni ya shindano la kasino ambayo ina zawadi kubwa yenye kusisimua ya TZS 12,000,000! Bingwa ataibuka na kitita cha TZS 3,800,000, mshindi wa pili 1,800,000 TZS na nafasi ya tatu ataondoka na 1,300,000 na pia zawadi zitatolewa kwa washindi mpaka nafasi ya 50! Wakati ni sasa, anza mchezo wako, Kila la Kheri! The Magical 22 Promosheni hii itafanyika katika mtindo wa shindano, kuanzia Desemba 26 saa 06:00 usiku mpaka Januari 4, 2023 saa 05:59 usiku. Wateja pekee wa Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet watashiriki kwenye shindano hili. Promosheni itahusisha michezo ya sloti ifuatayo iliyotengenezwa na Pragmatic Play: Cash Patrol Christmas Big Bass Bonanza Christmas Carol Megaways Gates of Olympus Great Rhino Megaways Sugar Rush Sweet Bonanza The Dog House Megaways Mshindi Anapatikanaje? Nafasi za wachezaji katika shindano zitazing...