MORRISON KUIVAA GEITA GOLD? Nyota wa Yanga SC, Bernard Morrison amemaliza adhabu yake ya kutocheza mechi tatu za NBC Premier Lea…
MORRISON KUIVAA GEITA GOLD? Nyota wa Yanga SC, Bernard Morrison amemaliza adhabu yake ya kutocheza mechi tatu za NBC Premier League ambayo ilianza Septemba 22, 2022.
Morrison alipewa adhabu hiyo kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi Lusajo Mwaikenda wa Azam FC kwenye mechi ya Septemba 6, iliyomalizika kwa sare ya 2-2 katika dimba la Benjamin Mkapa.
Tayari mchezaji huyo ametua jijini Mwanza akiwa katika msafara wa #Wananchi ulioondoka mapema leo.
Je, kesho ‘atakiwasha’ katika dimba la CCM Kirumba dhidi ya Geita Gold?
Mechi saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD
#AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPLUpdates #NBCPL #SisiNiSoka #SokaLetuBambam

The post MORRISON KUIVAA GEITA GOLD? Nyota wa Yanga SC, Bernard Morrison amemaliza adhabu yake ya kutocheza mechi tatu za NBC Premier Lea… appeared first on soka letu.
source https://mjombazecoder.website/58543/
Comments
Post a Comment