Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2022

Katika ukumbi wa Mlimani City, leo Ijumaa patakuwa hapatoshi, vitasa vitapigwa mwanzo mwisho mabondia kutoka mataifa sita watak…

Katika ukumbi wa Mlimani City, leo Ijumaa patakuwa hapatoshi, vitasa vitapigwa mwanzo mwisho mabondia kutoka mataifa sita watakuwa ulingo mmoja. Pambano kuu ni Ibrahim Class kuzichapa na Alan Pina kutoka Mexico. Kwa kifurushi cha shilingi 23,000 unatazama mbashara Usiku huu Vitasa kupitia #AzamSports1HD kuanzia saa 12:00 Jioni. #Vitasa #Azamtvsport #Azammaxweb The post Katika ukumbi wa Mlimani City, leo Ijumaa patakuwa hapatoshi, vitasa vitapigwa mwanzo mwisho mabondia kutoka mataifa sita watak… appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/56146/

AZAM FC KUIKABILI PRISONS, RUVU SHOOTING YAICHAPA COASTAL UNION

MCHEZO mmoja wa Ligi Kuu Bara leo unatarajiwa kuchezwa, Uwanja wa Sokoine ambapo itakuwa ni kati ya Tanzania Prisons dhidi ya Azam FC. Wageni Azam FC, jana waliwasili Mbeya na walifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wa leo miongoni mwao ni pamoja na nyota Agrey Morris. Idd Nado ambaye alikuwa nje kwa muda kutokana na kutokuwa fiti ni miongoni mwa nyota ambao wamerejea katika kikosi hicho. Jana ni mechi mbili za ligi zilichezwa ilikuwa Ruvu Shooting 2-1 Coastal Union huku mabao yakifungwa na Rashid Juma huyu alitupia mabao mawili dakika ya 36 na 60 huku lile la Coastal Union likifungwa na Vincent Abobakar dakika ya 8. Dodoma Jiji imepata ushindi wake wa kwanza kwa kuichapa Geita Gold bao 1-0 huku mtupiaji akiwa ni Collins Opare dakika ya 29. The post AZAM FC KUIKABILI PRISONS, RUVU SHOOTING YAICHAPA COASTAL UNION appeared first on Saleh Jembe . The post AZAM FC KUIKABILI PRISONS, RUVU SHOOTING YAICHAPA COASTAL UNION appeared first on soka letu . Via soka letu https://...

MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHINDA

FISTON Mayele mzee wa kutetema ni miongoni mwa nyota ambao walicheka na nyavu kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni FC ya Arusha uliochezwa Uwanja wa Avic Town. Mayele ni mshamuliaji namba moja ndani ya Yanga kutokana na kasi yake kuendelea pale ambapo aliishia msimu uliopita. Kwenye ligi Mayele katupia mabao matatu baada ya kucheza mechi nne huku kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya kwanza katupia mabao sita. Alitupia mechi mbili mabao matatumatatu kila mechi na kumfanya asepe na mipira miwili kwenye mechi hizo na hatua inayofuata wanacheza na Al Hilal. Yanga ilishinda mabao 2-1 ambapo ni mabao ya Mayele na Feisal Salum waliweza kufunga kwenye mchezo huo. Ni bao la Jesto Masanja hili lilifungwa kwa upande wa mbinu FC kipindi cha pili cha mchezo huo.. Mbuni inayoshiriki Championship malengo yao makubwa ni kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao. The post MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHINDA appeared first on Saleh Jembe . The post MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHI...

MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHINDA

FISTON Mayele mzee wa kutetema ni miongoni mwa nyota ambao walicheka na nyavu kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni FC ya Arusha uliochezwa Uwanja wa Avic Town. Mayele ni mshamuliaji namba moja ndani ya Yanga kutokana na kasi yake kuendelea pale ambapo aliishia msimu uliopita. Kwenye ligi Mayele katupia mabao matatu baada ya kucheza mechi nne huku kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya kwanza katupia mabao sita. Alitupia mechi mbili mabao matatumatatu kila mechi na kumfanya asepe na mipira miwili kwenye mechi hizo na hatua inayofuata wanacheza na Al Hilal. Yanga ilishinda mabao 2-1 ambapo ni mabao ya Mayele na Feisal Salum waliweza kufunga kwenye mchezo huo. Ni bao la Jesto Masanja hili lilifungwa kwa upande wa mbinu FC kipindi cha pili cha mchezo huo.. Mbuni inayoshiriki Championship malengo yao makubwa ni kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao. The post MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHINDA appeared first on Saleh Jembe . The post MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHI...

KIUNGO CHAMA KUIWAHI DODOMA JUMAPILI

CLATOUS Chama nyota wa kikosi cha Simba raia wa Zambia anatarajiwa kuwa miongoni mwa watakaokuwa kwenye mchezo dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Jumapili. Chama ambaye yupo kwenye fainali ya kuwania tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi ndani ya Simba chaguo la mashabiki hakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kilichoweka kambi Zanzibar. Sababu kubwa ya kukosekana kwake ni matatizo ya kifamilia ambayo kwa sasa tayari kila kitu kimeweza kwenda sawa. Kikosi cha Simba kimerejea Dar baada ya kucheza mechi mbiliza kirafiki ilikuwa Malindi 0-1 Simba na Kipanga 0-3 Simba, mchezo wao ujao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumapili. Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo na mechi za kimataifa. “Mechi ambazo tumecheza za kirafiki hizo ni nzuri kwetu na zimezidi kutuimarisha hivyo tupo tayari kwa ajili ya mechi zetu zijazo kitaifa na kimataifa na wachezaji wapo tayari,” . The post KIUNGO CHAMA KUIWAHI DODOMA JUMAPILI appeared first on Saleh Jembe . ...

KIUNGO CHAMA KUIWAHI DODOMA JUMAPILI

CLATOUS Chama nyota wa kikosi cha Simba raia wa Zambia anatarajiwa kuwa miongoni mwa watakaokuwa kwenye mchezo dhidi ya Dodoma Jiji unaotarajiwa kuchezwa Jumapili. Chama ambaye yupo kwenye fainali ya kuwania tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi ndani ya Simba chaguo la mashabiki hakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kilichoweka kambi Zanzibar. Sababu kubwa ya kukosekana kwake ni matatizo ya kifamilia ambayo kwa sasa tayari kila kitu kimeweza kwenda sawa. Kikosi cha Simba kimerejea Dar baada ya kucheza mechi mbiliza kirafiki ilikuwa Malindi 0-1 Simba na Kipanga 0-3 Simba, mchezo wao ujao unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumapili. Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo na mechi za kimataifa. “Mechi ambazo tumecheza za kirafiki hizo ni nzuri kwetu na zimezidi kutuimarisha hivyo tupo tayari kwa ajili ya mechi zetu zijazo kitaifa na kimataifa na wachezaji wapo tayari,” . The post KIUNGO CHAMA KUIWAHI DODOMA JUMAPILI appeared first on Saleh Jembe . ...

HAJI MANARA AMPA PONGEZI ALLY KAMWE KUTEULIWA YANGA

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa baada ya kutangazwa rasmi kwenye Idara ya Habari na Mawasiliano alipongezwa na Haji Manara ambaye ni Msemaji wa Yanga. Ameweka wazi kuwa Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba naye alimpa pongezi. Septemba 27, Kamwe alitangazwa kuwa Ofisa Habari na Priva Abiud maarufu kama Privaldinho alitangazwa kuwa Msimamizi Mkuu wa Digital na Maudhui. Akizungumza kwenye mahojiano maalumu na +255 Global Radio kwenye kipindi cha Krosi Dongo, jana Kamwe alisema kuwa alijisikia kuwa mwenye furaha baada ya kutangazwa kuanza majukumu mapya. “Baada ya kutangazwa nimepewa pongezi nyingi ikiwa ni pamoja na kutoka kwa Haji Manara na Ahmed Ally, Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano ndani ya Simba wote wamefurahi mimi kutangazwa. “Nilifurahi nilipopewa taarifa hizi kwa kuwa mimi ni shabiki wa Yanga na kazi kubwa ambayo nitafanya ni kushirikiana na wengine ili kufikia malengo yetu,” alisema Kamwe. The post HAJI MANARA AMPA PON...

Queen Darleen: Acha Wanione Mjinga Baada ya Kuachana na Ndoa

Queen Darleen: Acha Wanione Mjinga Baada ya Kuachana na Ndoa September 29, 2022 by Global Publishers Msanii wa Bongo Fleva aliye chini ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Queen Darleen. Queen Darleen; ni msanii wa Bongo Fleva aliye chini ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) ya Diamond Platnumz ambaye ameibuka kusema kwamba acha watu wamuone mjinga baada ya kuachana na ndoa. Darleen ambaye alifunga ndoa na mfanyabiashara Isihaka Mtoro kabla ya mambo kwenda mrama anasema kuwa, baada ya kuchukua hamsini zake, kwa anaishi maisha yenye furaha kuliko wakati alipokuwa ameolewa. Darleen amesema hayo wakati akitoa maoni yake kuhusu habari ya kusikitisha ya mwanamke wa Nigeria aliyefariki dunia wakati akikimbizana kwa gari na mume wake aliyekuwa na mchepuko ndani ya gari linguine. Mwanamke aliyefariki alikuwa mwanasheria ambaye imeelezwa kuwa alikuwa anapitia manyanyaso ndani ya ndoa na pia mumewe husika alikuwa hajatulia, anaendekeza umalaya na kutoheshimu misingi ya ndoa. I...

Simba yamcharukia Dejan kuvunja mkataba, yaahidi kumchukulia hatua

Uongozi utachukua hatua stahiki juu ya mchezaji huyo kufuatia kuvunja mkataba bila kufuata utaratibu maalumu,” ilieleza taarifa ya Simba. The post Simba yamcharukia Dejan kuvunja mkataba, yaahidi kumchukulia hatua appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/56052/

VIDEO: ULIMSKIA CEO MPYA WA YANGA? NENO LAKE LA KWANZA HILI HAPA

ANDRE Mtine Mtendaji Mpya wa Yanga ameweka wazi kuwa anaamini Yanga ni timu kubwa jambo ambalo limemfanya awe hapo na imani yake ni uona anaweza kufanya mambo makubwa kufikia malengo yaliyowekwa na timu hiyo The post VIDEO: ULIMSKIA CEO MPYA WA YANGA? NENO LAKE LA KWANZA HILI HAPA appeared first on Saleh Jembe . The post VIDEO: ULIMSKIA CEO MPYA WA YANGA? NENO LAKE LA KWANZA HILI HAPA appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/56046/

VIDEO: ULIMSKIA CEO MPYA WA YANGA? NENO LAKE LA KWANZA HILI HAPA

ANDRE Mtine Mtendaji Mpya wa Yanga ameweka wazi kuwa anaamini Yanga ni timu kubwa jambo ambalo limemfanya awe hapo na imani yake ni uona anaweza kufanya mambo makubwa kufikia malengo yaliyowekwa na timu hiyo The post VIDEO: ULIMSKIA CEO MPYA WA YANGA? NENO LAKE LA KWANZA HILI HAPA appeared first on Saleh Jembe . The post VIDEO: ULIMSKIA CEO MPYA WA YANGA? NENO LAKE LA KWANZA HILI HAPA appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/iwILNgs

UNFPA yaipongeza Tanzania kwa kukamilisha sensa kwa mafanikio

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi(UNFPA) limeipongeza Serikali ya Tanzania kwa kukamilisha zoezi la Sensa ya Watu na Makazi kwa mafanikio makubwa. Pongezi hizo zimetolewa Dar es Salaama Septemba 28, 2022 na Mwakilishi Mkazi wa UNFPA Tanzania, Mark Bryan Schreiner ambaye ameisifu Serikali kwa kutekeleza sensa ya kwanza kwa mfumo wa kidigitali. Rais Samia Suluhu Hassan akihesabiwa Ikulu Dodoma, Agosti 23, mwaka huuu. Amesema Tanzania imefanya uwekezaji mkubwa ili kuhakikisha sensa inajumuisha vipengele vyote kufikia viwango vya kimataifa vya sensa ya ubora wa juu jambo ambalo ni la kupongezwa. “Wiki mbili, kaya milioni 14, wahesabu sensa 205,000. Tanzania nzima na kufikia pembe za hata maeneo ya mbali zaidi, idadi ya Watu na Makazi ya 2022 sensa ilianza kwa kutoa wito kwa Watanzania ‘kujitayarisha kuhesabiwa’. “Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS), ilitangaza kuwa kufik...

UNFPA yaipongeza Tanzania kwa kukamilisha sensa kwa mafanikio

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi(UNFPA) limeipongeza Serikali ya Tanzania kwa kukamilisha zoezi la Sensa ya Watu na Makazi kwa mafanikio makubwa. Pongezi hizo zimetolewa Dar es Salaama Septemba 28, 2022 na Mwakilishi Mkazi wa UNFPA Tanzania, Mark Bryan Schreiner ambaye ameisifu Serikali kwa kutekeleza sensa ya kwanza kwa mfumo wa kidigitali. Rais Samia Suluhu Hassan akihesabiwa Ikulu Dodoma, Agosti 23, mwaka huuu. Amesema Tanzania imefanya uwekezaji mkubwa ili kuhakikisha sensa inajumuisha vipengele vyote kufikia viwango vya kimataifa vya sensa ya ubora wa juu jambo ambalo ni la kupongezwa. “Wiki mbili, kaya milioni 14, wahesabu sensa 205,000. Tanzania nzima na kufikia pembe za hata maeneo ya mbali zaidi, idadi ya Watu na Makazi ya 2022 sensa ilianza kwa kutoa wito kwa Watanzania ‘kujitayarisha kuhesabiwa’. “Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Ofisi ya Taifa ya Takwimu(NBS), ilitangaza kuwa kufik...

Katika kuendelea kuwa fit kwa ajili ya NBCPL na mechi za kimataifa wekundu wa msimbazi @simbasctanzania leo Jumatano watakuwa di…

Katika kuendelea kuwa fit kwa ajili ya NBCPL na mechi za kimataifa wekundu wa msimbazi @simbasctanzania leo Jumatano watakuwa dimba la Amaan Zanzibar kucheza mechi ya kirafiki na #Kipanga. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 2:15 usiku na kuruka LIVE kupitia #AzamSports2HD. #SisiNiSoka #AzamTVSports #SokaLetuBambam The post Katika kuendelea kuwa fit kwa ajili ya NBCPL na mechi za kimataifa wekundu wa msimbazi @simbasctanzania leo Jumatano watakuwa di… appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/56001/

MGUNDA ASHUSHA NONDO SIMBA, NABI ANASA FAILI LA AL HILAL

MGUNDA ashusha nondo Simba, Nabi anasa faili zima la Al Hilal, Ofisa Habari mpya Yanga kimeeleweka, ndani ya Championi Jumatano The post MGUNDA ASHUSHA NONDO SIMBA, NABI ANASA FAILI LA AL HILAL appeared first on Saleh Jembe . The post MGUNDA ASHUSHA NONDO SIMBA, NABI ANASA FAILI LA AL HILAL appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/56000/

SIMBA KWENYE DAKIKA 90 NYINGINE ZA KAZI LEO

KWENYE mchezo wa kirafiki dhidi ya Malindi uliochezwa Uwanja wa Amaan kipa namba tatu wa Simba, Ally Salim aliweza kuonyesha uwezo wake kwa kuanza kikosi cha kwanza. Leo Septemba 28,2022 kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kina kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo mwingine dhidi ya Kipanga FC ndani ya dakika 90. Mgunda ameweka wazi kuwa maandalizi yapo sawa na wanaimani ya kupata ushindi kwenye mchezo huo ambao utakuwa na ushindani. “Wachezaji watakuwa na kazi kubwa ya kusaka ushindi, kila mmoja atafanya kazi kubwa na hilo litatupa matokeo mazuri. “Ushindi wa mchezo uliopita ni moja ya kazi ambayo inatufanya tuamini kwamba kazi bado ipo na wachezaji wanazidi kuwa imara,” amesema. Kwenye mchezo wa kwanza wa kirafiki Simba ilipata ushindi wa bao 1-0 walipata dhidi ya Malindi bao ambalo lilifungwa na Nassoro Kapama kwa pasi ya Peter Banda aliyepiga kona dakika ya 13. The post SIMBA KWENYE DAKIKA 90 NYINGINE ZA KAZI LEO appeared first on Saleh Jembe . The pos...

MGUNDA ASHUSHA NONDO SIMBA, NABI ANASA FAILI LA AL HILAL

MGUNDA ashusha nondo Simba, Nabi anasa faili zima la Al Hilal, Ofisa Habari mpya Yanga kimeeleweka, ndani ya Championi Jumatano The post MGUNDA ASHUSHA NONDO SIMBA, NABI ANASA FAILI LA AL HILAL appeared first on Saleh Jembe . The post MGUNDA ASHUSHA NONDO SIMBA, NABI ANASA FAILI LA AL HILAL appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/yg0XKd5

NABI AWAPA MAAGIZO WACHEZAJI WAKE

KWENYE Ligi Kuu Bara, ukuta wa Yanga unaoongozwa na nahodha Bakari Mwamnyeto umeruhusu mabao matatu ya kufungwa huku safu ile ya ushambuliaji ikiwa imetupia jumla ya mabao 9. Kwa sasa Yanga ipo kwenye maandalizi ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hila unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni Oktoba 8,2022 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa ambapo timu zote zinahitaji kupata ushindi ili kutinga hatua ya makundi. Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi amesema kuwa ni muhimu kwa safu ya ulinzi kuongeza umakini ili kupunguza makosa. “Muhimu kwa safu ya ulinzi kuwa makini na kuongeza hali ya kupunguza makosa hilo litafanya tusifungwe mabao mengi. “Jambo la msingi ni kuona kwamba tunashinda mechi ambazo tunashinda, kila kitu kinawezekana na nina amini kwamba inawezekana kushinda,”. Kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele kafunga mabao matatu kwenye nne ambazo Yanga imecheza msimu wa 2022/23. Kwenye mechi mbili za kimataifa dhidi ya Zalan FC, Yanga haikufungwa zaidi ya kufunga m...

DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS

IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye mpango wa kuwania saini ya kipa namba moja wa Manchester United, David de Gea. Hesabu za Juventus ni kuinasa saini ya nyita huyo kwa ajili ya msimu ujao ili apate cangamoto mpya. Mkataba wa kipa huyo ndani ya United unatarajiwa kugotea ukingoni mwishoni mwa msimu huu ingawa kuna kipengele cha kuongeza mkataba wa mwaka mmoja. Habari zinaeleza kuwa wakati Juventus wao jicho lao likiwa kwa De Gea, United wao wanamtazama kwa ukaribu Jordan Pickford kuwa mbadala wake. Juventus wapo tayari kumsajili De Gea kuongeza nguvu mbele ya Wojciech Szceny, Mattia Perin na Carlo Pinsoglio ambao wapo kikosini hapo kwa sasa. The post DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS appeared first on Saleh Jembe . The post DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/b8Z4Du3

DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS

IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye mpango wa kuwania saini ya kipa namba moja wa Manchester United, David de Gea. Hesabu za Juventus ni kuinasa saini ya nyita huyo kwa ajili ya msimu ujao ili apate cangamoto mpya. Mkataba wa kipa huyo ndani ya United unatarajiwa kugotea ukingoni mwishoni mwa msimu huu ingawa kuna kipengele cha kuongeza mkataba wa mwaka mmoja. Habari zinaeleza kuwa wakati Juventus wao jicho lao likiwa kwa De Gea, United wao wanamtazama kwa ukaribu Jordan Pickford kuwa mbadala wake. Juventus wapo tayari kumsajili De Gea kuongeza nguvu mbele ya Wojciech Szceny, Mattia Perin na Carlo Pinsoglio ambao wapo kikosini hapo kwa sasa. The post DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS appeared first on Saleh Jembe . The post DE GEA KAINGIA ANGA ZA JUVENTUS appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/55948/

MGUNDA AJILIPUA SIMBA, NABI AWAINGIZA CHAKA WASUDAN

Mgunda ajilipua Simba, Nabi awaingiza chaka Wasudan ndani ya Spoti Xtra Jumanne The post MGUNDA AJILIPUA SIMBA, NABI AWAINGIZA CHAKA WASUDAN appeared first on Saleh Jembe . The post MGUNDA AJILIPUA SIMBA, NABI AWAINGIZA CHAKA WASUDAN appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/b8Z4Du3

MFARANSA WA AZAM FC ANASUKA KIKOSI KAZI KIMATAIFA

DENIS Jean, Kocha Mkuu wa Azam FC raia wa Ufaransa amesema kuwa kwa sasa mpango kazi uliopo ni kuandaa utimamu wa kikosi hicho kuelekea kwenye mechi za kimataifa pamoja na ligi. Kocha huyo ambaye amesaini dili la mwaka mmoja kuchukua mikoba ya Abdi Hamid Moallin mchezo wake wa kwanza wa ligi alishuhudia timu hiyo ikishinda bao 1-0 dhidi ya Mbeya City, Uwanja wa Sokoine. Mfaransa huyo amesema: “Tuna muda mrefu ambao tutakaa kutokana na kutokuwa na mechi jambo ambalo tunafanya kwa sasa ni kufanya maandalizi na kucheza mechi za kirafiki ambazo zitatufanya tuwe imara. “Tunahitaji kuwa na kikosi imara kwenye mechi zetu za kitaifa na kimataifa nina amini kwenye uwezo wa wachezaji wetu na wanazidi kuonyesha juhudi kwenye kazi,”. Mchezo ujao wa Azam FC ni dhidi ya Tanzania Prisons unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Septemba 30. Septemba 23, Azam FC ilicheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya TP Mazembe na zilitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Tayari kikosi kimerejea Dar kw...

MFARANSA WA AZAM FC ANASUKA KIKOSI KAZI KIMATAIFA

DENIS Jean, Kocha Mkuu wa Azam FC raia wa Ufaransa amesema kuwa kwa sasa mpango kazi uliopo ni kuandaa utimamu wa kikosi hicho kuelekea kwenye mechi za kimataifa pamoja na ligi. Kocha huyo ambaye amesaini dili la mwaka mmoja kuchukua mikoba ya Abdi Hamid Moallin mchezo wake wa kwanza wa ligi alishuhudia timu hiyo ikishinda bao 1-0 dhidi ya Mbeya City, Uwanja wa Sokoine. Mfaransa huyo amesema: “Tuna muda mrefu ambao tutakaa kutokana na kutokuwa na mechi jambo ambalo tunafanya kwa sasa ni kufanya maandalizi na kucheza mechi za kirafiki ambazo zitatufanya tuwe imara. “Tunahitaji kuwa na kikosi imara kwenye mechi zetu za kitaifa na kimataifa nina amini kwenye uwezo wa wachezaji wetu na wanazidi kuonyesha juhudi kwenye kazi,”. Mchezo ujao wa Azam FC ni dhidi ya Tanzania Prisons unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Septemba 30. Septemba 23, Azam FC ilicheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya TP Mazembe na zilitoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Tayari kikosi kimerejea Dar kw...

10′ | SAMIA AFYA CUP : Mechi inaendelea muda huu. MOI 1-0 GCL LIVE #AzamSports3HD #SamiaAfyaCup #Moi #Gcl #MoivsGcl #Azamtv…

10′ | SAMIA AFYA CUP : Mechi inaendelea muda huu. MOI 1-0 GCL LIVE #AzamSports3HD #SamiaAfyaCup #Moi #Gcl #MoivsGcl #AzamtvSports #SokaLetuBambam The post 10′ | SAMIA AFYA CUP : Mechi inaendelea muda huu. MOI 1-0 GCL LIVE #AzamSports3HD #SamiaAfyaCup #Moi #Gcl #MoivsGcl #Azamtv… appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/eDwiGTl

MATOKEO | SAMIA AFYA CUP 2022 : Shughuli imemalizika kwa GCL kupigwa wiki ya magoli MOI 7-1 GCL #SamiaAfyaCup #Moi #Gcl #Moivs…

MATOKEO | SAMIA AFYA CUP 2022 : Shughuli imemalizika kwa GCL kupigwa wiki ya magoli MOI 7-1 GCL #SamiaAfyaCup #Moi #Gcl #MoivsGcl #AzamtvSports #SokaLetuBambam The post MATOKEO | SAMIA AFYA CUP 2022 : Shughuli imemalizika kwa GCL kupigwa wiki ya magoli MOI 7-1 GCL #SamiaAfyaCup #Moi #Gcl #Moivs… appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/55869/

FT | #PBZPL : Namna KMKM walivyoitengeneza tatu bila dhidi ya Kipanga. Kipanga 0-4 KMKM #LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeagu…

FT | #PBZPL : Namna KMKM walivyoitengeneza tatu bila dhidi ya Kipanga. Kipanga 0-4 KMKM #LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeague #LigiKuuYaPBZ #ZPL #PBZPL #Kipanga #KMKM #KipangavsKMKM The post FT | #PBZPL : Namna KMKM walivyoitengeneza tatu bila dhidi ya Kipanga. Kipanga 0-4 KMKM #LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeagu… appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/55871/

53′ | #PBZPL : Chuma cha pili kwa KMKM wakizidi kulizamisha jahazi la Kipanga FC. Kipanga 0-3 KMKM LIVE #ZBC2 #LigiKuuZanziba…

53′ | #PBZPL : Chuma cha pili kwa KMKM wakizidi kulizamisha jahazi la Kipanga FC. Kipanga 0-3 KMKM LIVE #ZBC2 #LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeague #LigiKuuYaPBZ #ZPL #PBZPL #Kipanga #KMKM #KipangavsKMKM The post 53′ | #PBZPL : Chuma cha pili kwa KMKM wakizidi kulizamisha jahazi la Kipanga FC. Kipanga 0-3 KMKM LIVE #ZBC2 #LigiKuuZanziba… appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/55873/

MAPUMZIKO | SAMIA AFYA CUP 2022 : Moi bado wanaongoza MOI 2-0 GCL LIVE #AzamSports3HD #SamiaAfyaCup #Moi #Gcl #MoivsGcl #Azam…

MAPUMZIKO | SAMIA AFYA CUP 2022 : Moi bado wanaongoza MOI 2-0 GCL LIVE #AzamSports3HD #SamiaAfyaCup #Moi #Gcl #MoivsGcl #AzamtvSports #SokaLetuBambam The post MAPUMZIKO | SAMIA AFYA CUP 2022 : Moi bado wanaongoza MOI 2-0 GCL LIVE #AzamSports3HD #SamiaAfyaCup #Moi #Gcl #MoivsGcl #Azam… appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/55875/

MAPUMZIKO | #PBZPL : Hili hapa Goli la kwanza la KMKM dhidi ya Kipanga. Kipanga 0-2 KMKM LIVE #ZBC2 #LigiKuuZanzibar #Zanzi…

MAPUMZIKO | #PBZPL : Hili hapa Goli la kwanza la KMKM dhidi ya Kipanga. Kipanga 0-2 KMKM LIVE #ZBC2 #LigiKuuZanzibar #ZanzibarPremierLeague #LigiKuuYaPBZ #ZPL #PBZPL The post MAPUMZIKO | #PBZPL : Hili hapa Goli la kwanza la KMKM dhidi ya Kipanga. Kipanga 0-2 KMKM LIVE #ZBC2 #LigiKuuZanzibar #Zanzi… appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/55877/