Skip to main content

MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHINDA

FISTON Mayele mzee wa kutetema ni miongoni mwa nyota ambao walicheka na nyavu kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbuni FC ya Arusha uliochezwa Uwanja wa Avic Town.

Mayele ni mshamuliaji namba moja ndani ya Yanga kutokana na kasi yake kuendelea pale ambapo aliishia msimu uliopita.

Kwenye ligi Mayele katupia mabao matatu baada ya kucheza mechi nne huku kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya kwanza katupia mabao sita.

Alitupia mechi mbili mabao matatumatatu kila mechi na kumfanya asepe na mipira miwili kwenye mechi hizo na hatua inayofuata wanacheza na Al Hilal.

Yanga ilishinda mabao 2-1 ambapo ni mabao ya Mayele na Feisal Salum waliweza kufunga kwenye mchezo huo.

Ni bao la Jesto Masanja hili lilifungwa kwa upande wa mbinu FC kipindi cha pili cha mchezo huo..

Mbuni inayoshiriki Championship malengo yao makubwa ni kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao.

The post MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHINDA appeared first on Saleh Jembe.

The post MAYELE, FEISAL WAFANYA YAO YANGA IKISHINDA appeared first on soka letu.



source https://mjombazecoder.website/56141/

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT