Skip to main content

Wikiendi ya dabi kubwa na Odds nono!

Meridianbet – Bashiri Popote, Wakati Wowote!

Hii ni wiki ya washindi kama ukiichagua Meridiabet. Odds nono na machaguo kedekede yanapatikana huku! Zaidi ya michezo 1000 kuchezwa wiki hii, ni fursa ya kutengeneza mamilioni ya pesa. Kubwa zaidi, ni muendelezo wa Ligi ya Mbalimbali EPL, La Liga, Serie A, Ligue 1 na nyingine kibao. Mchongo upo hivi;

Dabi ya Italia (Il derby d’Italia) inawakutanisha Napoli dhidi ya Juventus katika dimba la Diego Armando Maradona leo Ijumaa. Napoli anaongoza Ligi kuu y aItalia akiwa amepoteza mchezo mmoja pekee msimu huu, wakati Juventus akiwa amepoteza mechi 2 mpaka sasa. Napoli hawajapoteza mchezo wakiwa nyumbani dhidi ya Juventus tangu mwaka 2019. Odds ya 2.01 Napoli kushinda inaweza kuboost mkeka wako!

Pale EPL inapigwa Dabi ya Manchester mapema kabisa siku ya Jumamosi, Manchester United watakuwa wenyeji wa Manchester City kwenye dimba la Old Traford. Vita ya mahasimu hawa waliokatika nafasi ya 2 na 4 inazidi kuchochewa na ubora wa timu hizo kwa sasa. Mshambuliaji Marcus Rashford kufunga goli ana Odds ya 3.43 wakati Erling Haaland akiwa na Odds ya 1.69. machaguo zaidi na Odds nono endelea kubeti na meridianbet. 

Jumamosi kuna Odds kibao za ushindi, Kule La Liga – Girona (2.45) watavaana na Sevilla (2.89) wakati Real Sociedad (2.45) wakivaana na Athletic Bilbao (2.99). EPL – Brighton (3.23) dhidi ya Liverpool (2.11) katika dimba laAmerican Express Community. Serie A – Lecce (5.68) dhidi ya AC Milan (1.60), Inter Milan (1.27) vs Verona (9.40). Ligue 1 – Marseille (1.39) dhidi ya Loriente (7.25),Lyon (1.60) dhidi ya Strasbourg (5.09). Kwa Odds hizi ushindi ukiwa na meridianbet ushindi kwako ni jambo la kawaida.

Siku ya Jumapili, Dabi ya London Tottenham wakiwakaribisha vinara wa EPL Arsenal-Washika Mtutu hawajashinda katika uwanja wa Tottenham katika misimu 3 iliyopita wamepewa Odds ya 2.20 kuibuka na ushindi ugenini dhidi ya vijana wa Conte.

Baada ya kushinda mchezo mmoja kati ya michezo 11 iliyopita, Chelsea watakuwa nyumbani Stamford Bridge dhidi ya Crystal Palace siku ya Jumapili. Je, Potter ataweza kurekebisha makosa. Hii hapa Odds ya 1.67 kwa Chelsea. Hii ndio nyumba ya ushindi, Meridianbet!

Mabingwa wa Ufaransa, PSG hawaja shinda ugenini  katika dimba la Roazhon Park dhidi ya Rennes tangu mwaka 2018. Matajiri wa Paris wamepoteza mchezo mmoja pekee msimu huu, wataweza kuvunja uteja dhidi ya Rennes. Odds ya 4.41 mchezo huu kumalizika kwa sare, weka beti yako sasa!

The post Wikiendi ya dabi kubwa na Odds nono! appeared first on soka letu.



source https://mjombazecoder.website/65419/

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT