Skip to main content

Wiki Hii Mechi Hizi ni za Ushindi Meridianbet, Odds Zimejazwa.

Wiki hii mechi nyingi ni za EFL, Coppa Italia, Spanish Super Cup lakini pia Ligue 1 itaendelea na michezo kadhaa ya EPL pia ikitimua vumbi, Usipange kukosa kubetia mechi hizi kila moja ina Odds kubwa kutoka Meridianbet.

Huko Hispania ukiachana na LaLiga, Spanish Super Cup ni moja ya mashindano pendwa sana, mchezo mkali ni kati ya Real Madrid watakuwa wenyeji wa Valencia, furahia kubashiri Meridianbet ukiwa na odds kubwa.

Wakiwa na msimu mzuri vijana wa Xavi FC Barcelona watakuwa nje ya dimba la Nou Camp kukipiga na Betis, ukiachana na aina ya soka la pasi nyingi na kasi kwa Barca upande wa Betis wana aina yao ya uchezaji wakishambulia pamoja na kukaba pamoja, mbinu za kocha gani kumpiku mwenzake. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet, tembelea maduka ya kubashiri kuonesha umwamba.

Wametoka kumchakaza Chelsea bao 4 kwenye FA, Jeshi la Pep litawafuata Southampton kwenye mchezo mwingine wa EFL ukiachana na aina ya mpira wanaocheza City, Soton unadhani wanaweza kumdhuia Pep? Bashiri huku ukifurahia odds nono kwa mechi hii, hivi unaanzaje kuziacha odds 10.78 za Soton. Bonyeza hapa kuona machaguo mengi Zaidi 1000+

Baada ya kuanza kwa kusuasua kupata matokeo PSG watakuwa uwanjani tena kwenye mchezo wa raundi 18 dhidi ya Angers, huku Troyes akiwakaribisha Marseille uhondo wote wa kubeti unaupata Meridianbet, kila mechi imepewa odds kibao.

Mechi kalii za Coppa Italia wiki hii ni kati ya Milan dhidi ya Torino ni vita kati ya Milan aliyepo nafasi ya 3 huku Torino akiwa nafasi ya 10 kwenye msimamo. Milan ana 1.59 huku Torino akiwa na 4.90. Meridianbet wanakupa nafasi ya kubashiri mubashara aukuturbo mkeka wako.

AC Roma inayonolewa na Jose Mourinho watakuwa na kibarua kingine cha kusaka ushindi mbele ya Genoa, hapa napo una nafasi ya kuonesha ujuzi wako kwenye kubashiri machaguo yapo kibao yanasindikizwa na Odds kubwa.

N.B Meridianbet wanakupa nafasi ya kushinda mkwanja mrefu sana ukicheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni, michezo kama Aviator, TiTAN Dice, Roulette, Fruit Parts, Poker na Mingine mingi. Kingine kikubwa Ukipakua APP ya Meridianbet kisha ukajiunga kwenye APP na Tovuti kisha ukaweka salio unapewa Bonasi ya Ukaribisho. Upewe nini kingine, Jiunge na Meridianbet Ushindi Kiganjani mwako.

The post Wiki Hii Mechi Hizi ni za Ushindi Meridianbet, Odds Zimejazwa. appeared first on soka letu.

Via soka letu https://ift.tt/IiZ4qXz

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT