Skip to main content

 Milan Derby Odds Bomba Meridianbet.

Ukiachana na burudani za soka ulaya, utamu mwingine utakuwa kwenye Milan Derby kati ya AC Milan dhidi ya Inter Milan ni mashindano ya Supercoppa Italiana. Lakini pia kuna mechi za Copa del Rey, Coppa Italia na EPL zote zitaendelea tena wiki hii, kumbuka Odds kubwa unazipata Meridianbet.

Ukubwa wa mechi hii sio tu kwa wingi wa mashabiki wanaoingia uwanjani, habari nyingi kuandikwa vyote havitoshi kubwa Zaidi ni kwamba ukubwa wa mechi hii ya Milan Derby ina Odds bomba na kubwa Meridianbet, machaguo ya kubashiri nayo ni mengi ushindwe wewe tu. AC Milan ana 2.79 ushindi, sare ina 3.23 na ushindi kwa Inter ni 2.45. kila timu ina nafasi ya kushinda, weka ubashiri wako.

Mechi za Copa del Rey siku ya Alhamis ni kati ya Sporting Gijon vs Valencia ushindi kwenye mechi huu unanogeshwa na machaguo kibao ya Meridianbet, odds bomba na kubwa za ushindi Valencia 2.11 vs 3.18 kwa Sporting Gijon. Atletico Madrid watakuwa wagane wa Levante kwenye dimba la Estadi Ciutat de València katika mji wa Valencia. Bashiri na Mabingwa sasa.

EPL itaendeleza moto wake, wakiwa wamewafunga wapinzani wao Manchester united itahitaji kupunguza idadi ya alama ili kuwania ubingwa wa epl, ni Man utd vs Crystal Palace- United yuko ugenini. Huku kwingine ni Man City watahitaji kufuta machozi ya kufungwa na mtani wao kwenye mechi yao dhidi ya Tottenham, Odds ziko hivi City 1.39, Tottenham 7.05 na sare ina 4.90

Ushindwe wewe tu kuvuna mkwanja mrefu kutoka meridianbet, wiki hii kuna mechi kubwa ambazo kukupa ushindi ni kawaida sana, Juventus atakipiga na Monza kwenye Coppa Italia, Lazio watakuwa wenyeji wa Bologna.

Funga wiki ni pale ambapo wachezaji wakubwa duniani Cristiano Ronaldo na Lionel Messi huenda wakakutana uwanjani, ni mechi ya kirafiki kati ya timu mbili za Saudia AL-Nassr na Al Hilal watakipiga dhidi ya PSG.

Copa del Rey mechi kubwa ni Barcelona ya Xavi watakuwa na kibarua kingine ugenini dhidi ya Ceuta, huku pia Real Madrid watakuwa na mchezo mgumu ugenini dhidi ya Villarreal. Odds ni bomba tena kubwa Meridianbet weka ubashiri wako.

N.B Meridianbet wanakupa nafasi ya kushinda mkwanja mrefu sana ukicheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni, michezo kama Aviator, TiTAN Dice, Roulette, Fruit Parts, Poker na Mingine mingi. Kingine kikubwa Ukipakua APP ya Meridianbet kisha ukajiunga kwenye APP na Tovuti kisha ukaweka salio unapewa Bonasi ya Ukaribisho. Upewe nini kingine, Jiunge na Meridianbet Ushindi Kiganjani mwako.

The post  Milan Derby Odds Bomba Meridianbet. appeared first on soka letu.



source https://mjombazecoder.website/65435/

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT