Skip to main content

Meridianbet Wameongeza ODDS kwenye Mechi za Wikiendi hii.

EPL itasimama kupisha michuano ya FA ambayo timu za Uingereza zitakutana katika mbio za kumtafuta bingwa, huku Ligi kadhaa zikiendelea kama kawaida pia Serie A na La Liga moto utaendelea kama kawaida. Pata Odds Nono kwenye kila mechi ukibashiri na Meridianbet.

Odds Nono za Meridianbet Wikiendi Hii?

Jumamosi mapema sana ni Tottenham dhidi ya Portmouth haitakuwa rahisi kwa timu zote huku ukibeti na Meridianbet mechi hii imepewa ODDS Nono Zaidi. Tottenham ana 1.12 huku Portmouth ana 16.66 kila timu ishinde.

Liverpool ambao wamekuwa hawana muendelezo mzuri wa matokeo kwenye mechi zao za hivi karibuni watakutana na Wolves ambao wanasifika kwa mpira wenye kasi kubwa, kwani wana wachezaji wenye uwezo mzuri wa kukaa na mpira na kuondoka na Kijiji kama Adama Traore. Mechi hii sio ya kuiacha mtu wangu huenda ikakupa tabasamu la kufurahia wikiendi yako.

Kule kwenye Serie A utashuhudia mtanange kati ya Juventus dhidi ya Udinese ambao kwa upande mmoja kila mmoja anazihitaji alama tatu ili kujiweka sehemu nzuri Zaidi ya msimamo. ODDS Nono ziko hivi Udinese amepewa 4.41 ashinde huku Sare ikiwa na 3.62. Unaweza kubashiri Mubashara na Meridianbet Bonyeza hapa.

Lakini pia Meridianbet wana Ofa kwaajili yako leo ni Villareal vs Real Madrid, weka pesa katika akaunti yako kisha tengeneza mkeka wako wenye angalau mechi moja kutoka Ligi ya La Liga na upate nafasi ya kushinda Bonasi ya TZS 25,000/= kutoka Meridianbet. Ofa hii inaisha Januari 8, 2023.

Jumapili ya Moto sana |Big Match Man City vs Chelsea

Ni kama vile Chelsea ana bahati mbaya au tuseme ni bahati nzuri kwake ili alipize kisasi kwa Manchester City. Alhamisi kwenye EPL alipoteza dhidi ya City kwa bao 1-0 sasa ni mechi ya FA, Jeshi la Graham Potter kuwapa furaha mashabiki wa The Blues? Au ni Jack Grealish na Riyard Mahrez kupeleka furaha kwa mashabiki wa City? Tembelea duka la kubashiri uoneshe umwamba wa kubashiri.

Hispania Laliga kumenoga unaweza kujikuta unapata bonasi kutoka meridianbet, ni Atletico Madrid vs Barcelona bonge moja la mechi hii timu yeyote inaweza kutoa ushindi. Sevilla atakipiga Getafe huku Almeria kukipiga na Sociedad. Pata Odds Nono hapa.

Kumalizia wikiendi yako hakikisha tu mkeka wako umeshiba timu za kutosha kuna mechi myimhi za Serie A ambazo kule kupata furaha ni rahisi sana Milan atakuwa na kibarua dhidi ya kikosi cha kocha mwenye vituko na mbwembwe kibao Jose Mourinho.

Lazio vs Empoli na Sampdoria aliyepo nafasi ya 18 atakiwasha na Napoli anayeongoza ligi kwa alama 41.

The post Meridianbet Wameongeza ODDS kwenye Mechi za Wikiendi hii. appeared first on soka letu.

Via soka letu https://ift.tt/5Flq49y

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT