Skip to main content

Jiachie beti bila Bando na Meridianbet-USSD!

Usijali endapo hauna Intaneti Piga *149*10# BURE!

Ushindi unaendelea ukibeti na Meridianbet USSD Piga *149*10# BURE kutengeneza mkeka wako usipokuwa na Intaneti mahali popote Tanzania. Nafasi nyingine ya kuendelea kufurahia odds nono za soka kiganjani mwako.

Jinsi ya Kujiunga na Meridianbet USSD!

Ni rahisi sana kujiunga na huduma hii ya USSD, cha kufanya ni kuwa na simu yako ya mkononi, haichagui aina ya simu ukiwa na kitochi inakubali na hata ukiwa na simu janja msisimko unaupata kama kawaida.

Kitu cha pili ni kupiga *149*10# kisha utachagua lugha, Kiingereza au Kiswahili, ukishachagua utaona umeletewa vigezo na masharti ya kukubali kubashiri ikiwa una zaidi ya miaka 18+ hairuhusiwi kubashiri ukiwa na chini ya miaka 18.

Baada ya hapo utabonyeza 90 kuendelea kwenye hatua inayofuata ambapo itakuletea machaguo ya mechi zilizopo zikiwa na odds kubwa nono kama unataka kujua mechi za masaa 24 zijazo, au mechi kubwa kwenye soka, au kama unataka kumtumia rafiki yako mualiko, kuangalia tiketi zako 5 za mwisho na kuangalia salio la akaunti yako kwenye waleti yako.

Tengeneza Mkeka wa Ushindi na Meridianbet USSD!

Ukimaliza kujiunga kazi inayobaki ni wewe kuonesha umwamba wako wa kubashiri na kitochi huku ukijipatia odds kubwa za soka

katika kila mechi unayoichagua na kuiweka kwenye mkeka wako.

Wakati huu ushabonyeza code ya ushindi ambayo ni *149*10# sasa utakupeleka kwenye uwanja wa kuonesha ufundi wako wa kubeti, na uwanja huo una machaguo yafuatayo:

1. Mechi za saa24 zijazo.

2. Top Football ikiwa ni mechi kubwa siku husika.

3. Kumtumia rafiki yako mualiko wa kujiunga na familia ya mabingwa Meridianbet.

4. Unaweza kuangalia tiketi zako 5 za mwisho

5. Ni kujua akaunti yako ina kiasi gani.

Njia rahisi ya kubashiri na kitochi (USSD)

Usisahau kwamba odds kubwa za soka unazipata Meridianbet hata ukiwa hauna bando la internet au ukiwa na kitochi.

Unaweza kuweka mkeka wako kwa kubonyeza namba moja ambayo inaonesha mechi za saa 24 zijazo na hapo utazikuta mechi kibao, utachagua timu na mechi unazozitaka wewe kila mechi na timu ina machaguo yake yenye odds kubwa na nono.

Ukimaliza unabonyeza 91 kuweka ubashiri au kama unahitaji kuongeza mechi zaidi utabonyeza 92.

Ukibonyeza 91 kuweka ubashiri wako utaweka kiwango/dau unalotaka kuweka kwenye beti yako kisha utathibitisha malipo na hapo utakuwa umefikia mwisho unasubiri mkeka wako ucheke.

Lakini pia kama umekosea ubashiri wako Meridianbet wanakupata nafasi ya kurudia ikiwa hujaweka dau na kuthibitisha malipo. dau la chini kabisa unaloweza kubeti ni TZS 250/= Ushindi upo kiganjani mwako fanya maamuzi sasa, Meridianbet ndio habari ya mjini hawana ubabaishaji.

The post Jiachie beti bila Bando na Meridianbet-USSD! appeared first on soka letu.



source https://mjombazecoder.website/65392/

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT