Skip to main content

GEITA GOLD KASI YAO DAKIKA 180 IMEKUWA NGUMU

BAADA ya kucheza mechi 17, Geita Gold wanafikisha kibindoni jumla ya pointi 23 ndani ya Ligi Kuu Bara.

Kwenye msimamo ipo nafasi ya 7 huku Azam FC ikiwa nafasi ya tatu na kibindoni ina pointi 38 na zote zipo ndani ya 10 bora kweye ligi.

Ndani ya daika 180 kwenye mechi mbili wakiwa nyumbani wamekwama kusepa na pointi zote sita zaidi wameambulia pointi moja.

Pointi hiyo wameipata kwenye mchezo dhidi ya Azam FC uliochezwa Desemba 20 ambapo ubao ulisoma Geita Gold 1-1 Azam FC.

Timu hiyo ndani ya dakika 180 imeokota nyavuni mabao sita ambapo ilitunguliwa mabao matano na Simba kisha bao moja dhidi ya Azam FC.

Geita Gold ipo mikononi mwa mzawa Felix Minziro ambaye ni miongoni mwa makocha wenye uzoefu na uwezo mkubwa kwenye kutimiza majukumu yake.

Kasi yake kwenye dakika 180 katika mechi mbili za mzunguko wa kwanza imekuwa ngumu kutokana na kushindwa kupata matokeo chanya.

Minziro ameweka wazi kuwa makosa watafanyia kazi ili kuwa imara kwa mechi zijazo.

The post GEITA GOLD KASI YAO DAKIKA 180 IMEKUWA NGUMU appeared first on Saleh Jembe.

The post GEITA GOLD KASI YAO DAKIKA 180 IMEKUWA NGUMU appeared first on soka letu.



source https://mjombazecoder.website/65176/

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT