Skip to main content

CHAMA CHA WASIOONA TANZANIA WANEEMEKA NA MSAADA KUTOKA MERIDIANBET

Chama cha Wasioona Tanzania (TLB) kwa furaha kubwa wamepokea msaada wa fimbo za kutembelea “White canes” kutoka Meridianbet Tanzania ikiwa ni moja ya utamaduni wa kampuni hiyo kuyashika mkono makundi yenye mahitaji maalum pamoja na jamii kwa ujumla kwa kutoa misaada mbalimbali.

Akitoa ushuhuda wake akiwa haamini kile kilichotokea, Katibu wa Chama hicho ndugu Iddi Kiwimbi alisema kwamba Meridianbet wamefanya kitu kikubwa ambacho hakuna kampuni yeyote imewahi kufanya hivyo.

“Niwambie ndugu zangu hawa watu nimewafahamu siku ya Alhamisi walinipigia simu kuniambia kuna ujumbe wako kwenye Email tunataka kuja kutoa msaada, Nilishangaa sana, kwa sababu sisi ndio huwa tunatafuta sehemu ya kupata misaada ila wao wameguswa moja kwa moja na kututafuta” – Iddi Kiwimbi- Katibu wa Chama cha watu wenye ulemavu wa macho.

” Sisi tuseme nini tena zaidi ya kuwashukuru kwa sababu mmekumbuka kwamba kuna ndugu zetu wana changamoto mbalimbali, pamoja na mahitaji hayo ni fimbo kwa sababu mnajua umuhimu wake, kwakweli tunawashukuru sana sana” Iddi Kiwimbi.

Akitoa neno mara baada ya kukabidhi vifaa hivyo Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Meridianbet Tanzania Ndugu Matina Nkurlu alisema:

“Tumefika hapa kutoa msaada kwa ndugu zetu wenye ulemavu wa macho, tuliguswa na tukaona kuwatembelea ili tuwape kile kidogo tunachokipata ikiwa ni utamaduni wetu Meridianbet Tanzania kila mwezi huwa tunatoa kwa jamii kidogo tunachokipata kama shukrani”- Matina Nkurlu

“Kama mnavyoona hali ya ofisi yao ni hali duni kabisa kwahiyo basi naomba nitumie fursa hii kuomba makampuni mbalimbali kuwakumbuka ndugu zetu sio tu kwa sababu wana matatizo ya macho tuwatenge hapana, huu ndio wakati na msimu wa Sikukuu tuwajali na wao wafurahie, basi naomba makampuni mengine yaige mfano wa Meridianbet Tanzania.” -Matina Nkurlu

Msaada huo wa vifaa vya kusaidia kuwaongoza wakati wa kutembea, ulitolewa na Meridianbet Tanzania kwa chama hicho maeneo ya Kinondoni Jijini Dar Es Salaam, ambapo utaenda kusaidia kundi hilo lenye uhitaji mkubwa wa vifaa hivyo vyenye gharama kubwa hali inayopelekea baadhi yao kushindwa kumudu gharama hizo.

Hii hapa nyingine usikubali ikupite, mwezi Disemba ni mwezi wa kufurahi, hivyo kuifanya siku yako iende poa, Meridianbet wanakuletea promosheni ya SAKA MBUZI NA KITOCHI, ukibeti bila bando kwa dau la kuanzia TZS 1,000/= Promosheni hii itadumu kwa mwezi huu wa Disemba tu. Piga *149*10# kubeti sasa.

 

The post CHAMA CHA WASIOONA TANZANIA WANEEMEKA NA MSAADA KUTOKA MERIDIANBET appeared first on Saleh Jembe.

The post CHAMA CHA WASIOONA TANZANIA WANEEMEKA NA MSAADA KUTOKA MERIDIANBET appeared first on soka letu.

Via soka letu https://ift.tt/D8oniEk

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT