Skip to main content

Odds Bomba za Meridianbet Wikiendi Hii.

Ni muendelezo wa Ligi mbalimbali ulimwenguni, EPL, LaLiga, Ligue 1, Serie A na Bundesliga zote zitatimua vumbi wikiendi hii, Usiwaze kuhusu Odds bomba na kubwa, ni Meridianbet pekee ndio Mabingwa wa Odds hapa Tanzania.

Jumamosi yenye mzuka itaanza kwa mechi kali ya EPL ni Manchester City ambao watakuwa ni wenyeji wa Fulham, wakiwa na rekodi nzuri ya kufunga na ushindi usio kuwa na mashaka, Meridianbet wamemwaga odds kubwa kwa Fulham akiwa na odds ya 16.66 kwa 1.13 ya City hapa ni ushindwe wewe tu.

Leeds United watakuwa macho na wakali zaidi pale watakapokutana na Bournemouth ambao kwa upande mwingine nao watakuwa makini zaidi kuhakikisha chama lao, halizamishwi kwenye dimba la Elland Road. Meridianbet wana odds kubwa, beti sasa.

Ni Jumapili nzuri kwa wapenda soka, mashabiki wa Chelsea na Arsenal wote wanatoka London, wataungana na timu zao zitakapokutana kwenye mchezo wa dabi ya London, ni Blues dhidi ya Gunners wenye msimu mzuri chini ya Mikel Arteta wakiwa ni vinara wa Ligi kwa sasa. Mechi hii ina odds kubwa haijawahi kutokea.

Wakati Aston Villa ya Unai Emery watawakaribisha Manchester United ambayo gari limewaka, wao wanasema Ligi ndio imeanza, huu mchezo utakuwa mtamu sana. Na Liverpool ya Klopp ambayo imekuwa ikisuasua kupata matokeo itakuwa ugenini dhidi ya Spurs.

Moto na moshi vitahamia uwanjani kule Serie A kwenye mechi ya kukata na shoka, Atalanta watakuwa wenyeji wa Napoli ambao msimu huu ni wa moto kweli kweli, usihofie jamvi lako kuchanika, meridianbet wana promosheni kubwa kwenye hilo. Beti na Mabingwa.

Ni AC Milan dhidi ya Spezia sio mechi ya kukosa, pia kuna mechi nyingine tamu kuitazama na hata ukiamua kuifuata na kuweka beti yako na meridianbet hutojutia pesa yako, ni Empoli na Sassuolo wana odds kubwa, lakini pia unaweza kucheza live kama ukijisajili na meridianbet.

Wakati kwenye Ligue 1 PSG yenye Neymar, Mbappe na Messi watakipiga na Lorient, huku Nantes watakuwa ugenini kucheza na Reims. Kuna bonge la mechi Marseille dhidi ya Lyon hapa ukizichanga odds zako vizuri unaondoka na kibunda kutoka kwa mabingwa meridianbet.

Akiwa katangaza kustaafu soka, Gerard Pique atacheza mechi yake ya mwisho kwenye dimba la Camp Nou dhidi ya Almeria, Pique ataaga kwa ushindi au ataaga kwa uchungu, jibu lako kaliweke meridianbet wana mzigo wako, beti hapa.

Getafe atakipiga na Cadiz wakati huo Osasuna atakuwa ugenini kukiwasha na Celta De Vigo, usiwasahau Real Valladolid watarudi uwanjani kutembeza boli na Elche, Real Sociedad watatunishiana misuli uwanjani na Valencia. Ili ucheke baadae hakikisha una beti na mabingwa wa odds bomba hapa Tanzania.

The post Odds Bomba za Meridianbet Wikiendi Hii. appeared first on soka letu.



source https://mjombazecoder.website/59196/

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT