Skip to main content

LUSINDE AMTAKA DK. BASHIRU AJIUZULU MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo…

LUSINDE AMTAKA DK. BASHIRU AJIUZULU

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mvumi Livingston Lusinde amemtaka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk Bashiru Ally Kujizulu nafasi yake ubunge.

Lusinde ameyasema hayo Leo jijini Dodoma baada ya kukerwa na kauli ya Dk. Bashiru alizotoa Mkoani Morogoro akiwa katika kikao na wakulima.

Amesema Balozi Dk.Bashiru jimbo lake ni Ikulu kwasababu ameteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kama anaona hawezi kufanya kazi na uongozi uliopo madarakani ni vyema akaachia ngazi na nafasi yake ikachukuliwa na mtu mwingine,

“Bashiru amekuwa Katibu Mkuu wa Chama, Katibu Mkuu Kiongozi na balozi, ana mambo mengi ya nchi hii ambayo anayajua, hivyo kuzungumza maneno yale siyo maneno yanayoweza kunyamaziwa kimya.”

“Jimbo la Balozi Dk.Bashiru ni ikulu kwasababu ndio imemteua, si kumbuki kama kuna siku aliwahi kumshukuru Rais Samia kwa kumteua, kwasababu anajisikia vibaya akisikia watu wanasema Rais Samia anaupiga mwingi anatakiwa aachie ngazi ili ateuliwe Mbunge mwingine ambaye atapendezwa na kile kinachofanywa na serikali ya awamu ya sita.” amesema

Lusinde amesema Balozi Dk.Bashiru akiwa Katibu Mkuu wa CCM aliwafundisha kuimba mapambio ya kusifu na walifanya hivyo sasa kwanini wakati huu inamkera.

#KitengeUpdates

The post LUSINDE AMTAKA DK. BASHIRU AJIUZULU MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo… appeared first on soka letu.

Via soka letu https://ift.tt/rPm9tRy

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT