Skip to main content

Mechi kali wiki hii, Meridianbet wamejipanga kutoa mpunga

Shughuli itaanzia Ijumaa kwenye epl ni Brentford watakipiga dhidi ya Brighton kwenye raundi ya 11, huku kwenye Ligue 1 raundi ya 11 itawakutanisha Strasbourg watakichafua na Lile halafu sasa Laliga mchezo wa raundi ya 9 itawakutanisha Vallecano dhidi ya Getafe. Meridianbet wamejipanga kumwaga mpunga kwako, tandika jamvi lako.

Epl itakuwa na michezo 4 kwa siku ya Jumamosi, Leicester City watakutana na Crystal Palace ni mechi ya mapema sana majira ya saa 14:30, pia Wolves ambao wameshinda mechi moja tu kwenye epl, sare 3 na kapoteza mechi 5, atakipiga na Nottingham Forest ambaye ameshinda mara 1, sare 2 na kapoteza mechi 6. Tottenham wataingia uwanjani wakiwakaribisha Everton ambao mpaka sasa wameambulia ushindi kwenye mechi mbili tu. Bashiri na Mabingwa ili uwe bingwa.

Kwenye Laliga kule Athletic Club watawakaribisha Atletico Madrid waliotoka kuwafunga Girona bao 2-1, bila kusahau mtanange kati ya Mallorca dhidi ya Sevilla, wakati huo huo Valencia hawatakuwa shughuli nyingine zaidi ya kuwakabiri Elche kwenye dimba lao la nyumbani. Kupitia Meridianbet unaweza kubashiri lakini pia kwa USSD kwa kupiga *149*10# ukiwa na Kiswaswadu au Simujanja bila bando.

Kule kwenye Bundesliga sasa, patakuwa hapatoshi Frankfurt wanahasira unaambiwa za kupigwa goli 3 kwa mtungi na Bochum, Basi shughuli haitakuwa rahisi watakapokutana na Leverkusen ambao walimtwanga 4-0 Schalke 04. Mechi ina ODDS kubwa na machaguo zaidi 1000+ kwenye Meridianbet.

Jumapili sasa Embu fikiria Man utd watakapokutana na Newcastle ni bonge moja la mechi hili, unaweza kubashiri matokeo yatakuaje kule Meridianbet, Leeds watawakaribisha Arsenal ambao wanaongoza ligi mpaka sasa, Chelsea watalazimika kuwafuata Aston Villa ya Steven Gerrard.

Baadae sasa ndiyo usipime pale kwenye jiji la Liverpool uwanja wa Anfield vijana wa Kloop watakuwa na jambo lao dhidi ya vijana wa Pep, yaani ni Liverpool na Man City, ni Haaland kuendeleza moto wake au Salah na Firmino watakuwa mashujaa wa Majogoo hao? Bashiri ukiwa na Meridianbet.

Laliga ndiyo usipime moto utawaka, nyasi zitaongea pale ambapo Vinicious Jr, Benzema watakapochuana na Lewandowski, De Jong, Dembele kwenye EL Classico, Madrid anaitaka nafasi ya kwanza na Barca wanataka kuendelea kuongoza Ligi, What a Match..? Meridianbet wana mzigo wako hapa, bashiri sasa.

Ule moto wa wapinzani wakali pale Ligue 1, ni PSG atakayekuwa nyumbani kukipiga na Marseille, nyasi za dimba la Le Parc des Princes zitawaka moto. Meridianbet wapo na wewe, bashiri sasa.

Hauna Smartphone au unataka kubet na hauna bando..? Usiwaze sasa unaweza kubashiri kwa kutumia USSD piga *149*10# kisha utandike jamvi lako kirahisi.

The post Mechi kali wiki hii, Meridianbet wamejipanga kutoa mpunga appeared first on soka letu.

Via soka letu https://ift.tt/LxVaUYS

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT