Skip to main content

Picha| OSHA yaendelea kutoa elimu Sabasaba

Mkaguzi wa Afya wa OSHA, Saredho Yusuph akifafanua kwa mdau kuhusu huduma za usalama na afya zinazofanywa na OSHA ikiwemo hatua tatu za upimaji afya kwa wafanyakazi ambazo ni upimaji afya kabla ya ajira,wakati wa ajira na baada ya ajira.

Mkaguzi wa umeme wa OSHA, Maria Ndaskoy akitoa elimu ya usalama wa umeme katika maeneo ya kazi kwa mdau aliyetembela banda la Maonesho la OSHA katika Maonesho ya 46 ya Sabasaba 2022.

Pichani ni baadhi ya wadau waliotembelea Banda la Maonesho la OSHA na kupata elimu juu masuala mbalimbali yanayohusu usalama na afya mahali pa kazi.

Huduma mbalimbali zinazotolewa na OSHA katika Maonesho haya ni:
-Elimu ya usalama na afya kazini
-Ushauri wa kitaalam kuhusu masuala ya usalama na afya mahali pa kazi
-Usajili wa maeneo ya kazi
-Vipimo vya magonjwa yatokanayo na kazi nk.

The post Picha| OSHA yaendelea kutoa elimu Sabasaba appeared first on soka letu.

Via soka letu https://ift.tt/DmuoJc5

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT