Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Triyoso Zatamito(kulia) akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mauzo wa Taasisi ya Nyumba ya Watumishi Housing Investment(WHI), David Mwaipaja(watatu kutoka kushoto), alipotembelea Banda la watumishi_housing_investments lililopo katika jengo la Karume ndani ya maonyesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama Sabasaba jijini Dar es Salaam leo Julai 7, 2022.
Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Triyoso Zatamito akisaini kitabu cha wageni baada ya kupata maelezo ya miradi inayotekelezwa na Taasisi ya Nyumba ya Watumishi Housing Investment(WHI) alipotembelea Banda la @watumishi_housing_investments lililopo katika jengo la Karume ndani ya maonyesho ya 46 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama Sabasaba jijini Dar es Salaam leo Julai 7, 2022.
The post Balozi wa Indonesia nchini Tanzania atembelea banda la WHI Sabasaba appeared first on soka letu.
source https://mjombazecoder.website/32765/
Comments
Post a Comment