Skip to main content

Anaandika mchambuzi @kelvinrabson_ MAGICAL GAME… . Kwa jinsi mbinu za walimu wa timu zote zilivyokuwa bora..ubora wa vikosi v…

Anaandika mchambuzi @kelvinrabson_

MAGICAL GAME…
.
Kwa jinsi mbinu za walimu wa timu zote zilivyokuwa bora..ubora wa vikosi vyote viwili na jinsi wachezaji wanavyojituma…ukiswitch off kidogo tu umekwisha. Mechi ya kiwango cha juu sana.
.
Man City waliwapress Liverpool vizuri na kwa kasi sana pale Liverpool wanapofanya “Build Up” KDB na Sterling mbele ya Matip na VVD alafu Bernado haraka kwa Fabinho maana yake Liverpool hawapigi pasi fupi za mbele wanalazimika kupiga pasi ndefu kwenda mbele ambazo City walikuwa wanashinda wao.
.
Liverpool kwenye 4-3-3 lakini wakipress wanabadilika na kuwa 4-1-4-1, kwa City ilikuwa rahisi kwao kupenya kwasababu Silva anashuka chini zaidi maana yake Thiago au Hendo watamfata Rodri na KDB mmoja atakuwa huru kupokea mpira Foden anatoka pembeni anaingia ndani TAA anaingia ndani na Cancelo anashambulia space nyuma ya TAA . (Rahisi kabisa)
.
Kipindi cha pili Liverpool walirudi kwa kasi sana, mipira mirefu kwenda mbele mda huu wakilenga upande wa kushoto kwa Cancelo kushambulia space ambazo anaziacha nyuma na wachezaji wawili wa mbele “Jota na Manè” wanafanya movements (ndio goli la Manè lilivyotokea)…baada ya hapo Manè alishuka chini kusaidia kulinda pale waipokuwa hawana mpira.
.
NOTE: Cancelo moja ya mechi bora sana kacheza leo👏…Bernado “Maestro”🔥 kaupiga mwingi sana…Foden 👏
.
KDB…the man him self🔥 amewaka kwanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho.
.
Pep kwenye eneo la namba 9 bado anahitaji sana…anakosa nafasi nyingi sana na wanatengeneza nafasi lakini mmaliziaji hamna.
.
TAA amekutana na game ngumu sana kwake…Manè movements🔥
.
Man City 2-2 Liverpool

The post Anaandika mchambuzi @kelvinrabson_ MAGICAL GAME…
.
Kwa jinsi mbinu za walimu wa timu zote zilivyokuwa bora..ubora wa vikosi v…
appeared first on FACEBOOK TV.

The post Anaandika mchambuzi @kelvinrabson_ MAGICAL GAME…
.
Kwa jinsi mbinu za walimu wa timu zote zilivyokuwa bora..ubora wa vikosi v…
appeared first on soka letu.



source https://mjombazecoder.website/5441/

Comments

Popular posts from this blog

Dr. William Samoei Ruto: muuza kuku ambaye sasa ni rais wa Kenya

Ruto ameweka historia kwa kuwa mgombea wa kwanza wa urais katika Jamhuri ya Kenya kushinda kura za urais katika jaribio la kwanza. Amekuwa naibu wa kwanza wa rais kushinda kiti cha urais katika Jamhuri ya Kenya. Mwanasiasa ambaye hajawahi kushindwa katika uchaguzi wowote. Mwanasiasa ambaye ametajwa na wachambuzi kama mchapa kazi na mwenye bidii na kiu ya kupata kile anacholenga maishani. Mtu asiyekata tamaa. Mcheshi katika hotuba zake, anayesemekana kutaka kujua kila linaloendelea karibu naye, mtu mkarimu mwenye roho ya kuchangisha pesa kwa watu na kwa ajili ya miradi mbalimbali. Ruto ameshutumiwa kwa kashfa kadhaa hasa za ufisadi bila kesi kufikishwa mahakamani, na ameshinda karibu kesi zote ambazo zimewahi kufunguliwa mahakamani dhidi yake ikiwemo kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC. Yafuatayo ndiyo mambo muhimu yanayomhusu rais wa 5 wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto. Majina Kamili: William Samoei Arap Ruto Umri: miaka 55 Mke wake: Rachel Chebet Ruto ...

Jioni

Download Audio The post Jioni appeared first on soka letu . source https://mjombazecoder.website/54168/

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye

Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kufuatia upigaji kura uliofanyika Jumapili mjini Mogadishu. Upigaji kura huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa Mogadishu uliokuwa na ulinzi mkali huku wanajeshi wa Umoja wa Afrika wakilinda hema la Afisyone ambalo lilikuwa ni sehemu ya kupigia kura. Katika kikao cha pamoja cha mabaraza mawili ya bunge yenye wajumbe 328 waliwapigia kura wagombea 36 wa urais katika duru tatu. Mohamud alimshinda Rais aliyekuwa madarakani Mohammed Abdullahi Mohamnmed maarufu kama “Farmaajo” katika duru tatu za upigaji kura. Hassan Sheikh Mohamud alikuwa rais kati ya Agosti 2012 na Februari 2017. The post Bunge la Somalia limemchagua tena Rais wa zamani Hassan Sheikh Mohamud kuwa rais ajaye appeared first on soka letu . Via soka letu https://ift.tt/ZmsWCwT